Deey Classic |
Producer wa muziki kutoka Mwanza - Deey Classic amechaguliwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwana tunzo katika kipengele cha producer anayechipukia.
Soma alichokiandika kutoka katika blog yake hapa.
Nimechaguliwa
kuingia katika kuwania tunzo za muziki Tanzania za Kilimanjaro (Kili
Time Music Awards) katika kundi la Mtayarishaji Chipukizi wa Mwaka na
namba yangu ni BF1 kama mnavyoona katika picha hiyo hapo juu eneo
lililozungushiwa msitari mwekundu na lenye maneno D Classic.
Naamini
tutakuwa pamoja katika wakati wote. Nashukuru wote waliowezesha kwa
namna moja ama nyingine kuweza kufikia hapa sio rahisi kuorodhesha
majina yao wote lakini
popote walipo naomba wazipokee shukrani zangu.
popote walipo naomba wazipokee shukrani zangu.
Tuendeleeni kupeana moyo na kazi tuzidi kufanya kwa ushirikiano mkubwa.
Kwa yeyote mwenye maoni ama ushauri asisite kuwasiliana nami.
KARIBUNI!
Post a Comment