Adam Mchomvu-Baba JONII |
Huu ni ujumbe kutoka aliyoandika katika blog yake na kutoa ruksa hiyo"YEs, kama kumbukumbu zako zitakuwa poa basi haina shaka utakuwa unakumbuka kama Jumamosi iliyopita nilitoa ruhusa kwa mtu yeyote anaona anaweza fanya video ya ngoma yangu matata ya 'Jonii' amabayo kitambo kidogo ilisumbua kwenye gemu lakini nilikuwa sijagonga kichupa chake kwa masababu kibao tu. Round hii nikatoa hiyo 'nike' ya watu kufanya video na kunitumia nashukuru mwitikio umekuwa mkubwa watu wamenigongea 4n wakisema wameshaanza mchakato huo na 'soon' watazidondosha kwangu soo kama na wewe ni mmoja wao fanya hivyo alafu itume kwangu video yako kupitia adplus100@gmail.com ama bonyeza 0718489260 tusomane poa.
Chanzo: dJ Fetty Blog-djfetty.blogspot.com
Post a Comment